!!TOP!! Kamusi Ya Kiswahili Kwa Kiswahili.pdf
Download File ->>->>->> https://urlca.com/2tiRCL
I loved it im working hard to learn six languages. Kiswahili is one of them. This page was super helpful. Im truly thankful. P.S. I wrote all the verbs in kiswahili study book as well. Thanks and keep up the great work.
Kamusi hii ya Kiswahili-Kiingereza ina historia ndefu. Wazo la kutunga kamusi hii ilianzishwa mwaka 1964 na Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili (ambacho kuanzia mwaka 1972 kilijulikana kama Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili).
Wazo hili lilibuniwa wakati wa enzi ya Profesa Wilfred H. Whitely, ambaye wakati huo alikuwa ndiye Mkurugenzi wa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili, ikiwa ni miaka 25 baada ya kuchapishwa kwa kamusi ya Johnson ijulikanayo kama Standard Swahili-English Dictionary (1939).
Kazi ya utunzi wa kamusi mpya ilianza baada ya shirika lijulikanalo kama Calouste Gulbenkian Foundation kutoa msaada wa pesa kwa Chuo cha Uchunguzi wa Kiswahili kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 1964.
Kati ya shughuli muhimu za taasisi hizo, mojawapo ni kazi ya kukuza misamiati ya Kiswahili yaani kutafuta maneno mapya au kupanua matumizi ya maneno yaliyopo ili kutaja mambo ya maisha ya kisasa yaliyobadilika. Utunzi wa kamusi za Kiswahili hupanua elimu hiyo. 153554b96e
https://www.askfatherjohn.com/group/mysite-231-group/discussion/a5b8923b-01ff-4f46-9973-04a1332c2842